Tuesday, August 19, 2014

JWTZ YASHEREHEKEA MIAKA 50 KWA KUIJALI JAMIIZAIDI

 http://1.bp.blogspot.com/-JSGe8A72Hqk/U_Nhp5Oq8KI/AAAAAAAGAwg/R5_Gjg3pM8U/s1600/pix%2B2.JPG

 Meshack Ndosikoi Mkurugenzi wa jinsia kutoka wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia na watoto ambaye ni mgeni rasmi akifanya ufunguzi wa hafla ya kuadhimisha miaka 50 ya jesi la wananchi wa Tanzania leo jijini Dar es salaam na kuzindua wiki ya kutoa misaada kwa vituo vya watoto yatima na wale wanaishi katiaka mazingira magumu
http://4.bp.blogspot.com/-xk2kgqfMMlU/U_Nh6xKBSaI/AAAAAAAGAxY/9XJqpFUNUjU/s1600/pix%2B8.JPG Mkurugenzi Meshack Ndesikio akiw katika picha ya pamoja na maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania katiaka hafla ya kuazimisaha miaka 50 ya jeshi hilo

http://3.bp.blogspot.com/-VU_lrqt3afM/U_Nhp7M824I/AAAAAAAGAwk/gRuvkmNBKt0/s1600/pix%2B1.JPG
Mkurugenzi wa ustawi wa jamii wa jeshi la wananchi wa Tanzania Brigedia Jenelari Sarah Wambali akisoma risala kwa mgeni rasmi katiya kusherehekea miaka 50 ya jeshi hilo









http://3.bp.blogspot.com/-QYrvxkdYaf4/U_Nh1kYdBwI/AAAAAAAGAxE/d8aKSrdFPQo/s1600/pix%2B3.JPGMkurugenzi akitoa msaada wa vyakula mbalimbali kwa watoto wa kitua cha nyumba ya furaha na amani kilichopo Mburahati jijini Dar ikiwa ni ishara ya ufunguzi wa wiki ya kuhudumia jamii zinazitolewa na jeshi hilo katika kusherehekea miaka 50 ya jeshi la wananchi wa Tanzania

http://1.bp.blogspot.com/-F_NwPXacbvo/U_NhxiTTcLI/AAAAAAAGAw4/Z30mdLwmcVM/s1600/pix%2B4.JPGbBrigedia generali Sarah Wambali akipeana mkono na watoto wa kituo cha watoto yatima cha nyumba ya furaha na amani cha mburahati baada ya kukabidhi msaada wao kituoni hapo

No comments:

Post a Comment