Monday, October 20, 2014

MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO


Maiti ya mwanaume huyo ukiwa umelazwa katika gari la Askari, baada ya kutolewa kwenye mfereji huo
Maiti ya Mwanaume anayekadirikiwa kuwa na Umri kati ya miaka 25-35, imeokotwa asubuhi ya leo katika Mfereji wa Maji ulioko jirani na kiwanda cha kukoboa Kahawa (Coffee Curing), maeneo ya Majengo Fire, wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya wananchi wakishangaa maiti ya mwanaume huyo ambaye jina lake na wapi na chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana
Huu ndio mfereji ambako mwili wa mtu asiyejulikana ulikokutwa leo asubuhi

Mwili hu ukipakizwa kwenye Gari 

 
Wananchi wakishiriki kuupakiza mwili huo kwenye gari la Polisi

LOLENA BUKWIMBA ALIZWA NA WANAFUNZI

Katika hali isiyokuwa ya kawaida na  kusikitisha mbunge wa Jimbo la Busanda mkoani Geita Lolena Bukwimba kupitia Chama cha Mapinduzi amejikuta akitoa machozi baada ya kukuta  wanafunzi wakike zaidi  25 wa shule ya sekondari Nyakamwaga wakilala chini kwa kukosa vitanda.
Hali hiyo imejitokeza jana wakati mbunge huyo  akikagua miradi ya visima 6 vya maji anavyojenga  katika kata ya Nyakamwaga wilayani Geita mkoani Geita kwa kushirikiana  na wananchi.

Mbunge huyo alipomaliza kutembelea miradi hiyo alitembelea bweni la wasichana wa shule ya sekondari Nyakamwaga na kujionea hali na adha wanayoipata watoto hao wanaolala chini na kujikuta akibubujikwa machozi.
Kufuatia hali hiyo ngumu ya maisha ya wanafunzi hao,mbunge huyo aliahidi kiasi cha shilingi milioni tano kutoka kwenye mfuko wa jimbo kwa ajili ya kununua vitanda na mahitaji mengine na kuwaomba wahisani na wafanyabishara wengine kusaidia shule hiyo.

''Jamani mimi kama mbunge wa jimbo hili nimeona hali ilivyo mbaya kwa wanafunzi wa kike wanavyoteseka  sina cha kuongea nawaomba  wahisani na wafanyabishara tuungane kusaidia jambo hili'' alisema Bukwimba

''Hatuna vitanda tunalala chini na magodoro ni machache uzio hakuna  tunaoga usiku kwa kuogopa wananchi wanaopita  hata walimu wetu  wanaishi watatu hadi wanne kwenye chumba kimoja kwa kweli tunateseka sana tunaomba tusaidiwe'' walisikika wakisema mwanafunzi hao.

Mkuu wa shule hiyo Meryciana Deusdedith alisema kuwa shule yake yenye wanafunzi 319 wakike wakiwa ni 188 na wavulana wakiwa ni 131na walimu 18 imekuwa na changamoto nyingi kama kukosa maabara na kukosa uzio jambo ambalo watoto wakike wamekuwa wakiishi kwa wasiwasi kwa kuogopa kubakwa wakati wa kuoga.

Aliongeza kuwa watoto wengi wa kike wamekuwa wakianza wengi lakini kutokana na shule hiyo kukosa mabweni ya kutosha wamekuwa hawamalizi kutokana na kurubuniwa na vijana wa mitaani kwa kuwapa mimba na kuwakimbia  na kubaki wakihangaika.

Hata hivyo alitoa shukrani zake kwa mbunge kwa kuona hilo na kuweza kusaidia kiasi hicho cha fedha na kuwaomba watu wengine kusaidia shule hiyo kwa chochote walichonacho.

PRESIDENT KIKWETE OFFICIATES AT THE CNN MULTICHOICE AFRICAN JOURNALIST AWARDS GALA IN DAR ES SALAAM


Tanzanian songbird Lady Jay Dee sings the National Anthem at
the opening of  Gala Awards ceremony held at the Mlimani
 City Conference Centre, in Dar es Salaam on Saturday October 18, 2014.
President Jakaya Kikwete,  Dr. Mary Michael Nagu. Minister of State for Investment and Empowerment (to the President's right), Dar es salaam Regional Commissioner  Hon Said Meck Sadick,  Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa, Deborah Rayner (second right), SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN International (right), stand at attention as the national anthem is sung.
 Part of the invited guests
 Invited guests
President Kikwete delivers his speech
  Deborah Rayner  SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN International speaks
 Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa speaks 
 CNN International's Isha Sesay co-host of  the show
 Part of the invited guests
 Capital Television's Frank Morandi co-host of the show
 More invited guests
 Winner of the Cultural Award  Obinna Emelike, Business Day, Nigeria acknowledges the honour after Greg Beitchman, VP, Content Sales and  Partnerships, CNN International, made the presentation
 The attentive guests follow up the proceedings
 Winner of the Environment Award Patrick Mayoyo, Daily Nation, Kenya is happy after being presented with the trophy by  Richard Uku, Group Head Corporate Communications, Ecobank Transnational Inc 
 Winner of the FRANCOPHONE GENERAL NEWS AWARD: ELECTRONIC
MEDIA
 Daniel Biaou Adje, ORTB Benin receives the trophy from  Amadou Mahtar Ba, Co-Founder and Executive Chairman AllAfrica Global
Media
 Winner of the FRANCOPHONE GENERAL NEWS AWARD: PRINT MEDIA, Safia Berkouk, El Watan, Algeria, as  Amadou Mahtar Ba, Co-Founder and Executive Chairman AllAfrica Global Media looks on after presenting the trophy
 CNN cameraman in action
 Sean Christie,
Freelance for Landbouweekblad and The Mail & Guardian, South
Africa, 
 Winner  of
the 
COCA-COLA ECONOMICS & BUSINESS
AWARD, presented by 
Erastus Mtui, Country
Public Affairs & Communications Manager, The Coca-Cola Company
(left) 
 
  Olatunji Olalade,
The Nation Newspaper, Nigeria, winner of the 
MSD HEALTH & MEDICAL AWARD, presented
by 
Kaja Natland, Managing Director, MSD
South Africa (left)
 A standing ovation as the  PRESS FREEDOM AWARD is presented to the wife and son of
jailed 
Bheki Makhubu, of Swaziland
 Wife and son of  jailed Swaziland journalist Bheki
Makhubu after receiving the PRESS FREEDOM AWARD,
from Ferial Haffajee, Chairperson of the 2014 Judging Panel
(left)
 Joseph Mathenge, Freelance for the Saturday Nation, Kenya,
receives the  
MOHAMED AMIN
PHOTOGRAPHIC AWARD, presented by 
Salim Amin, Chairperson, A24
Media
 Images of terror taken by Joseph Mathenge during the
Westgate attack in Nairobi, Kenya, are shown to the
audience
 Joseph Mathenge, Freelance for the Saturday Nation, Kenya,
speaks after accepting the   
MOHAMED AMIN PHOTOGRAPHIC AWARD, presented
by 
Salim Amin, Chairperson, A24 Media
(left)
 Joseph Mathenge, Freelance for the Saturday Nation, Kenya,
summons on stage his son Geoff Kihato to  share the glory of
 the  
MOHAMED AMIN
PHOTOGRAPHIC AWARD, presented by 
Salim Amin, Chairperson, A24
Media
 Joseph Mathenge, Freelance for the Saturday Nation, Kenya, is
humbled as his son Geoff  Kihato receives the  
MOHAMED AMIN PHOTOGRAPHIC AWARD trophy
from 
Salim Amin, Chairperson, A24
Media
 Winners Joy Summers &
Susan Comrie, Mnet Carte Blanche, South Africa, receive
the 
GE ENERGY & INFRASTRUCTURE
AWARD, from  
Thomas Konditi, Chief
Financial Officer
, GE
Africa
 The audience is glued as the cameramen are
busy


 Joyce Mhaville, Managing Director, ITV,
announces the winner of the 
NEWS IMPACT
AWARD
 Rashid Ibrahim, Citizen TV, Kenya, co- winner of the NEWS IMPACT AWARD drops to the floor in all his fours
for a little player after the announcement the he and Anne Mawathe
have won
 Rashid Ibrahim, Citizen TV, Kenya, speaks after receiving
 the 
NEWS IMPACT AWARD, from
 
Joyce Mhaville, Managing Director,
ITV
 Evelyn Watta, sportsnewsarena.com, Kenya, receives
the 
SPORT REPORTING AWARD, from
 Msindisi Fengu the CNN MultiChoice African Journalists
2013
 Time for the announcement of the overall winner and
President Kikwete opens the envelope as CEO MultiChoice Africa,
Deborah Rayner, SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN
International look on
 President Kikwete announces the winner as  CEO
MultiChoice Africa, Deborah Rayner, SVP International Newsgathering TV
and Digital, CNN International look on
 President Jakaya Mrisho Kikwete presents to
Kenyan journalist Joseph Mathenge  the top prize at this year’s
CNN MultiChoice African Journalist 2014 Awards Ceremony held on
Satuday night at the Mlimani City Conference hall in Dar es salaam. He
has been honoured for  capturing the captivating images of
 
the Westgate Mall shoppers in Nairobi,
Kenya, when the mall was attacked by unidentified gunmen in September
2013.
 President Jakaya Mrisho Kikwete shakes hands with
 Mathege's son, Geoff Kihato, also a photographer,  who
helped his father capture the captivating images of  
the Westgate Mall shoppers in Nairobi, Kenya, when the
mall was attacked by unidentified gunmen in September
2013.
 The audience

 President Jakaya Mrisho Kikwete presents to
Kenyan journalist Joseph Mathenge  the top prize at this year’s
CNN MultiChoice African Journalist 2014 Awards Ceremony held on
Satuday night at the Mlimani City Conference hall in Dar es salaam.
Looking on is Mathege's son, Geoff Kihato, also a photographer,
 who helped his father capture the captivating images of
 
the Westgate Mall shoppers in Nairobi,
Kenya, when the mall was attacked by unidentified gunmen in September
2013.
  Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa congratulates
Mathenge as President Kikwete, Mathege's son Geoff Kihato
and Deborah Rayner, SVP International Newsgathering TV and
Digital, CNN International,  (partially hidden) look
on.

 President Kikwete, Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa,
Deborah Rayner, SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN
International, pose for  a group photo with Mathenge and son
Geoff during the ceremony.

 The panel of judges being
introduced 
 Confetti rain of the panel of
judges 
 Confetti swallow the panel of
judges
 President Kikwete shakes hands with the panel of
judges
 President Kikwete shakes hands with CNN International's
Isha Sesay co-host of  the show
"Excellent...." President Kikwete seems to be telling
 Capital Television's Frank Morandi co-host of the
show
  Mathenge and son Geoff  show off their
trophies at during the ceremony.
 Lady Jay Dee with her Machozi band
entertain
  Mathenge and son Geoff  happ with Salim
Mohamed Amin during the ceremony.
  Mathenge and son Geoff  have another photo op
with the dignitaries during the ceremony.
 President Kikwete greets veteran photographer Adarsh
Nayar and other guests as he takes his leave
 President Kikwete greets Wife and son of  jailed
Swaziland journalist Bheki Makhubu who received on his behalf
 the PRESS FREEDOM
AWARD.