Monday, August 25, 2014

KIJANA AFARIKI DUNIA WAKATI AKIFANYA NGONO NA KAHABA

Kijana mmoja Nchini Malawi, Fletcher Jere (26) amefariki Dunia kutokana na kuzidiwa utamu wakati akifanya ngono na kahaba mmoja mjini Blantyre.

 

Gazeti la Daily Times nchini Malawi limeripoti kuwa kijana huyo alinunua kahaba huyo maeneo ya Ndirande katikati ya jiji la Blantyre.


Afisa wa Polisi mjini Blantyre Bi.Edina Ligowe (pichani) amesema kuwa Bw. Jerre alikufa kutokana na kuwa na hisia za juu sana pamoja na kuhisi utamu uliopitiliza wakati akifanya Ngono na Kahaba huyo (sexual excitement and sweetness).
Aidha Afisa huyo amesema kuwa kahaba huyo hatofunguliwa Mashtaka yoyote kwa sababu hakuna kosa alilofanya kwa yeye kuwa mtamu kupitiliza. 
 She committed no crime by being too sweet to the man
 
 


No comments:

Post a Comment