Wednesday, August 20, 2014

SITTA AKUTANA NA WAANDISHI KUZUNGUMZIA MAENDELEO YA KAMATI ZA BUNGE MAALUM


mkiti 1
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akizungumza na waandishi wa habari alipokutana nao leo kuhusu muhtasari wa kikao cha Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo kilichokaa leo kutathmini kazi za kamati 12 za Bunge hilo lilipofikia pamoja kuridhia baadhi ya maependekezo ya kuongeza ibara na sura ndani Rasimu ya Katiba katika Kamati zao.
mkiti 2
mkiti 3

No comments:

Post a Comment