Wednesday, August 20, 2014

CCM YAKUBALI YAISHE, YAKUBALI KUAHIRISHA BUNGE MAALUM LA KATIBA


Habari za uhakika zilizolifikia gazeti hili zinasema kwamba kikao cha dharura cha CCM kilichofanyika jana kimetaka Bunge la Katiba (BMK) liahirishwe. Hii ni baada ya kujiridhisha kwamba akidi ya 2/3 kutoka Zanzibar haitatimia, hivyo ni bora kuahirisha bunge hilo kuliko kuteketeza fedha za watanzania ambazo zingetumika kubosesha huduma za jamii zilizo taabani kama vile maji, afya, miundombinu na elimu.

Chanzo:Mtanzania

No comments:

Post a Comment