.jpg)
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia madhara ya mapigo ya
silaha mbalimbali wakati wa ufungaji wa zoezi la medani la maadhimisho
ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Monduli, Arusha, leo
Septemba 5, 2014.
.jpg)
Sehemu ya
askari wakitoka katika mapambano wakati wa ufungaji wa zoezi la medani
la maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
Monduli, Arusha, leo Septemba 5, 2014.
.jpg)
.jpg)
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais Wa
Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na viongozi wengine wakisimama kwa wimbo
wa Taifa wakati wa ufungaji wa zoezi la medani la maadhimisho ya miaka
50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Monduli, Arusha, leo Septemba
5, 2014.
.jpg)
Askari wa
kikosi cha mizinga akichukua taswira meza kuu wakati wa ufungaji wa
zoezi la medani la maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) Monduli, Arusha, leo Septemba 5, 2014.
.jpg)
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais Wa
Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na viongozi wengine wakipata picha ya
kumbukumbu na sehemu ya wapiganaji wakati wa ufungaji wa zoezi la medani
la maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
Monduli, Arusha, leo Septemba 5, 2014.
.jpg)
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapongeza askari wanawake
walioshiriki katika mapambano wakati wa ufungaji wa zoezi la medani la
maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Monduli,
Arusha, leo Septemba 5, 2014.PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment