Rais Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman (hayupo pichani).…
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mhe
Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba
16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns
Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka
katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume.Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania
Mhe Ibrahim Juma ambaye ni mmoja wa wajumbe wa msafara wa Jaji Mkuu wa
Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman walipokwenda kumjulia hali jijini
Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014.Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani
Mhe Liberata Mulamula aliyesindikiza msafara wa Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe Mohamed Chande Othman walipokwenda kumjulia hali jijini Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014 Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania
Mhe Ignass Kitusi ambaye ni mmoja wa wajumbe wa msafara wa Jaji Mkuu wa
Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman walipokwenda kumjulia hali jijini Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014.Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Mtendaji Mkuu wa Mahakama Mhe
Hussein Katanga. ambaye ni mmoja wa wajumbe wa msafara wa Jaji Mkuu wa
Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman walipokwenda kumjulia hali jijini Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014.Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Meja Jenerali Adolph Mutta ambaye
alimsindikiza Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman kwenda
kumjulia hali jijini Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014. Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini
Marekani Dkt. Sweetbert Mkama ambaye alimsindikiza Jaji Mkuu wa
Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman kwenda kumjulia hali jijini
Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014.
No comments:
Post a Comment