Wakazi wa kijiji cha mpunguiti
kata ya luteba wilayani Rungwe mkoani mbeya wamelazimika
kuitisha mkutano wa kimila baada
ya mwanachi mewezao Dulo mwangwego miaka {26} kufariki dunia ghafla baada kula wali vijiko viwili.
Wakiiongea
kwa masikitiko makubwa wanachi
hao kupitia katika mkutano wa hadhara ulio anza majila ya saa
kumi na moja ya alfajili ambapo waliseesema wameamua
kuchukua hatua ya kuitisha mkutano wa huo baada ya
kijana huyo kufariki dunia katika
mazingra ya kutatanisha kwa kula wali vijiko viwili.
Hata hivyo taarifa za awari kutoka kwa wananchi
hao zimeeleza kuwa katika siku
za hivi karibuni vijana wawili walienda kufanya kazi
ya kumsaidia kulima mwanakijiji mwenzao Jimu
mwakibwaga kama kibarua lakini
baada ya ya vijana hao kuonekana kufanya
kazi viziri bosi wao Jimu
mwakibwaga aliamua kuwapatia kilo
nne za mchele ambao
waliondoka nao hadi katika makazi
yao, lakini hata hivyo kijana huyo baada ya kujaribu kula
vijiko viwili alijikuta akianza
kunyong’onyea mwili wake kwa ghafla kwa
kanza kutokwa na damu katika sehemu za puani
ikiwa ni pamoja na kutokwa
na damu katika sehemu ya haja
kubwa , ambapo kutokana na
hali hiyo kuzidi
kuchukua nafasi yake aliamua
kuwaita majilani zake ambao walimkimbiza katika Hospitali teule ya
Halmashauri ya Busokelo itete
kwa matibabu zaidi.
Hata hivyo kipindi
hiki kilifanikiwa kuhojiana
na baadhi ya ndugu
wa marehemu juu ya kisa
hicho ambapo wamesema chanzo
cha tukio hilo kimekuja kufuatia
kula wali ambao alipewa na mwanakijiji
mwenzake baada ya kumualika kumsaidia
kufanya kazi ya kulima
shamba ambapo baada ya kufika nyumbani kwake , alipikiwa chakula
hicho vizuri lakini
baada ya kujaribu
kula vijiko viwili alijikuta akinza kujigalagaza huku na kule
kwa kutokwa na damu katika sehemu za puani na
haja kubwa na ndogo hali ambayo ilipelekea kumfikisha
hospitali ambako aliweza
kupoteza uhai wa maisha yake wakati
akiendelea na matibabu.
Kwa upande
wake chifu wa maeneo hayo ASajile
Mwambage alisema hatua hiyo imekuja
baada ya kuwepo kwa maslalamiko kwa wananchi wake juu ya kifo cha ndugu yao na kutaka kuitishwa kwa mkutano wa kimila wakitaka kujua
hatima ya kifo cha
kijana wao na ukizingatia
kuwa hilo ni
tukio la pili kujitokeza katika
maeneo hayo ambapo katika siku za hivi karibuni mwanakijiji mwenzao Jueli mwanjwango alifariki katika mazingra ya kutanisha baada ya
kudaiwa kuchapwa na fimbo na jilani
yake kutokana ugonvi wa mifugo.
Hata hivyo mkutano huo ulianza mnamo
majila ya saa kumi na moja
ya alfajili na kumalizika majila ya saa mbili za alfaji na huku
ukiwa na lengo la kutomeza vifo
vya ajabu katika maeneo hayo.
|
Friday, August 29, 2014
KIJANA AFARIKI KWA KULA VIJIKO VIWILI VYA WALI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment