Thursday, August 14, 2014

WANAFUNZI WA CHUO CHA MZUMBE WAUA MWIZI WA LAPTOP CHUONI MOROGORO

Wanafunzi wa mzumbe main campus Morogoro wameua mwizi alyeiba laptop kutoka mabweni mawili tofauti, taarifa zaidi zinasema uuaji huo umetokana na hasira kali za wanafunzi hao kuibiwa laptop kila siku na pia mwanzafunzi mwenzao kuvamiwa barabarani na kujeruhiwa na visu siku zilzopita....

No comments:

Post a Comment