Friday, September 12, 2014

HII MPYAAAAAAAAAAAAA

KWA NINI WAHESHIMIWA WOTE HAWAONYESHI HAYA KAMA HUYU MHE.MWIGULU NCHEMBA??KAVUNJA REKODII..HEBU ANGALIA ALICHOFANYA


Nilifanikiwa kuonana na Mhe.Mwigulu hakuwa na mengi ila nakumbuka tu maana alianza kwa kuniambia hivi:

 Mwigulu Nchemba:

Namshukuru sana Mungu,Nimetimiza Miaka 10 ya NDOA yangu.Pongezi Nyingi sana Kwa Mama Joshua (Mke Wangu),Familia Yangu,Ndugu,Jamaa na Watanzania Wote kwa Maombi Yenu.
Yohana.13.34.Anasema pia jukumu la kulea watoto wetu ni letu wote ndiyo maana kwa mapenzi ya dhati nikiwa nyumbani natamani kumsaidia mke wangu kazi mbalimbali ikiwepo kukaa na watoto,kitu ambacho kwangu kinanipa furaha sana kwani muda mwingi nimebanwa na majukumu ya kitaifa na kimataifa..

 

No comments:

Post a Comment