Wednesday, October 29, 2014

MWANAMKE ATUMBUKIA CHOONI WAKATI AKIFANYA MAPENZI NA HAWALA, HUKU MUMEWE AKIWA MAUTUTI CHUMBAN



Picha hii haiendani na picha tukio lakini picha hii pia wananchi walikuwa wakifanya uokoaji baada ya kijana mmoja kudumbikia chooni na kufa papo hapo. 
Na.Gabriel Mbwille, Mbozi
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la TIENA MWAZEMBE mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa kijiji Hangomba kata ya Bara wilayani Mbozi mkoani Mbeya amenusurika kufa baada ya kutumbukia chooni wakati akifanya mapenzi huku mumewe akiwa maututi chumbani.

Habari za uhakika kutoka kijiji hapo zinadai kuwa mwanamke huyo licha ya kuwa mke wa mtu alikuwa anafanya ngono chooni na WASI MGALA wakati mumewe akiwa ndani anaumwa na kwamba alidumbukia choo baada ya banzi alilokuwa amekanyaga kukatika wakati wanafanya tendo hilo

hatahivyo baada ya mwanamke huyo kutumbukia ndani ta choo mwanamke aliyekuwa nae chooni humo wakifanya tendo hilo alikimbia na kumuacha wanamke huyo akipiga mayowe ndani ya choo kitu kilichowafanya wanakijiji wafurike na kumuokoa mwanamke huyo
SAIKI GODFREY KAROTI amesikitishwa na kitendo hicho kuwa ni udharirishaji kwake 

No comments:

Post a Comment