Thursday, November 27, 2014

WATU WASHANGAZWA NA KIJANA ALIYEVUA NGUA NA KUBAKI KAMA ALIVYOZALIWA MJINI SHINYANGA

Katika pita pita zake asubuhi hii,kamera za Malunde1 blog zimemnasa kijana ambaye hakujulikana jina lake mara moja akiwa amevua nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa na kung'ang'ania kwenye daraja la Kidau(Ibinzamata) mjini Shinyanga barabara ya Mwanza Shinyanga.Mashuhuda wanasema kijana huyo kafika darajani leo asubuhi na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine huku wakisema kuwa huenda amepandisha majini,ama katumia madawa ya kulevya yaliyomchanganya akili
Kijana akikatisha barabarani kwenda upande wa pili wa daraja
PICHA ZAIDI>>>>

Kijana akining'inia darajani,hatukuweza kujua nini kimemsibu kijana huyo
Baadaye aliamua kutoka darajani kisha kuanza kukimbia hivyo barabarani kisha kulala barabarani

Akiwa amesemama barabarani.Mpaka tunaondoka eneo la tukio wasamaria wema walijitokeza kumkamata kisha kumvalisha nguo baada ya tukio hilo kuduma takribani  dakika 30

No comments:

Post a Comment