Wednesday, December 3, 2014

BILIONEA NIGERIA AMZIKA MAMA YAKE NDANI YA HUMMER


Bilionea Nigeria aliyeiwekea marembo gari la Humeer yenye thamani ya dola 1,000 na kumzika nayo mama yake katika mji wa Enugu nchini Nigeria.
Gari la Hummer lililobeba mwili wa marehemu likiingizwa kaburini

Bilionea akimzika mama yake ndani ya gari la Hummer nchini Nigeria.

No comments:

Post a Comment