Naitwa naomi, kweli niliposikia kuhusu
dawa za kukuza makalio nilienda kuzinunua haraka na kupaka na Kuchoma
Sindano Pia ili Kukuza Makalio yawe kama ya Nick Minaj, Mwanzoni
nilifurahi kwa kuwa niliona kama vile yanakuwa kweli lakini sasa hivi
nimeanza kupata mashimo mashimo pia yanauma sana mpaka yanakuwa mekundu,
ukweli yamekuwa mzigo kwangu Hata sijui Nifanyaje Jamani
Atoa onyo kali kwa wanawake wakitanzania kujikubali vile walivyozaliwa kwani kwake sasa ni mateso
Tuesday, September 23, 2014
RAPPER WITNESS APOTEZA MAPACHA KWA UJAUZITO WAKE KUHARIBIKA
Akiongea na tovuti ya Times Fm, Witness ameeleza kuwa alikuwa anatarajia mapacha na alikuwa katika hatua za mwisho lakini ghafla ikatokea hali hiyo ambayo hadi sasa inafanyiwa uchunguzi na madaktari kubaini chanzo.
“Kuna mambo ambayo niliambiwa kwamba endapo ningekuwa sina mazoezi au ningekuwa siko strong ina maanisha kwamba na mimi mwenyewe ningekuwa hatarini.” Amesema Witness.
Ameeleza kuwa hali hiyo ilitokea Ijumaa iliyopita lakini yeye na mchumba wake Ochu waliamua kukaa kimya kwa muda hadi leo walipoamua kuiweka wazi.
Akiongelea afya yake, member huyo wa zamani wa WAKILISHA ameeleza kuwa hivi sasa anaendelea vizuri.
Tunampa pole kwa tatizo hilo lililomkuta na tunamuombea awe na afya njema kama zamani.
PATRICK NGOWI NA DK MENGI WAIBUKA NA TUZO ZA WAFANYABIASHARA BORA AFRIKA
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, ameibuka mshindi wa tuzo
mbili kwenye fainali ya shindano la kuwania Tuzo ya Mwaka ya
Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) kundi la Afrika Mashariki.
Sherehe za kutoa tuzo hizo zilifanyika jijini Nairobi, Kenya Jumamosi iliyopita.
Dk. Mengi alitunukiwa Tuzo ya Mfanyabiashara Bora Afrika kwa mwaka 2014, kutoka kundi la Afrika Mashariki. Majaji wa shindano hilo pia waliamua kumtunuku Tuzo ya Maisha ya Mafanikio kwa kuongoza katika suala la uwajibikaji kwa jamii.
Dk. Mengi ambaye pia liingia kwenye kurasa za gazeti maarufu la Forbes Africa la Julai mwaka huu wa 2014, amekuwa akichangia sehemu kubwa ya muda na rasilimali zake kwa ajili ya kufadhili kazi zinazogusa maisha ya jamii.
Kwa upande wa Tuzo ya Kijana Mfanyabiashara Kiongozi wa Mwaka, tuzo hiyo ilienda kwa Patrick Ngowi, CEO wa Helvetic Solar anayeongoza kampuni inayokua kwa kasi kwenye mtandao wa nishati mbadala katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Anaongoza wafanyakazi zaidi ya 300, akichangia kwenye ukuaji na maendeleo yanayolenga mipango ya kibiashara katika taifa la Tanzania na ukanda mzima wa eneo hili.
Sherehe za kutoa tuzo hizo zilifanyika jijini Nairobi, Kenya Jumamosi iliyopita.
Dk. Mengi alitunukiwa Tuzo ya Mfanyabiashara Bora Afrika kwa mwaka 2014, kutoka kundi la Afrika Mashariki. Majaji wa shindano hilo pia waliamua kumtunuku Tuzo ya Maisha ya Mafanikio kwa kuongoza katika suala la uwajibikaji kwa jamii.
Dk. Mengi ambaye pia liingia kwenye kurasa za gazeti maarufu la Forbes Africa la Julai mwaka huu wa 2014, amekuwa akichangia sehemu kubwa ya muda na rasilimali zake kwa ajili ya kufadhili kazi zinazogusa maisha ya jamii.
Kwa upande wa Tuzo ya Kijana Mfanyabiashara Kiongozi wa Mwaka, tuzo hiyo ilienda kwa Patrick Ngowi, CEO wa Helvetic Solar anayeongoza kampuni inayokua kwa kasi kwenye mtandao wa nishati mbadala katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Anaongoza wafanyakazi zaidi ya 300, akichangia kwenye ukuaji na maendeleo yanayolenga mipango ya kibiashara katika taifa la Tanzania na ukanda mzima wa eneo hili.
PRODUCER MAN WALTER APATA MKE
Producer
Man Maji Man Water ambalo jina lake kamili ni John Vomo Shariza Siku ya
Jumamosi tarehe 21 Septemba 2014 katika kanisa la KLPT Kigamboni jijini
Dar es salaam alifunga ndoa na mke wake aliyejulikana kwa jina Matilda
Jimmy Igoti katika ukumbi wa Karimjee Hall jijini Dar es salaam,Zitazame
picha za kilichojiri kwenye hafla hiyo
KIJANA AFUMANIWA NA MWANAFUNZI WA KIUME GESTI
Njemba aliyekutwa na denti akipanda kwenye difenda.
“Mwanzo tulifikiri anakuja na vijana hao kama marafiki zake wa
kawaida lakini tukaingiwa na wasiwasi baada ya kugundua kuwa alikuwa
akilala nao kwa kuwabadilisha,” alisema meneja huyo.
Alidai kwamba Jumapili iliyopita, majira ya saa 3:00 usiku, kijana
huyo alitinga tena kwenye gesti hiyo lakini alikuwa peke yake na kupewa
chumba kama kawaida.
“Wahudumu waliniambia kuwa jamaa amefika tena na amechukua chumba cha
juu lakini safari hii alifika peke yake, ilinishangaza sana kusikia
kaja peke yake kwani siyo kawaida yake so sikuamini,” alieleza meneja
huyo.
Alidai kwamba asubuhi ya Jumatatu, mishale ya saa 4:00, wahudumu
walisikia miguno ndani ya chumba alicholala njemba huyo ndipo
wakakifunga kwa nje kisha kuita polisi na vijana wa OFM ambao walifika
eneo la tukio ndani ya ‘dakika sifuri’.
Meneja huyo alisema kuwa hafahamu njemba huyo alimuingiza kijana huyo
muda gani kwani walimuwekea mtego siku nyingi akawa anachezwa na
machale.
Hata hivyo, Jiji la Dar huwa halina dogo kwani wakazi wa eneo hilo
walijazana kwenye gesti hiyo kutaka kumpiga jamaa huyo lakini polisi
walifanikiwa kuwatorosha eneo hilo na kuwampeleka Kituo cha Polisi cha
Magomeni, Dar.
Hadi OFM inang’oa nanga kituoni hapo, njemba huyo na kijana
aliyekutwa naye walikuwa wakiendelea kuhojiwa. Kujua kilichojiri usikose
kufuatilia magazeti ya Global.
WAMAREKANI WAFUNGA NDOA MLIMA KILIMANJARO
Managing
Director of Zara Tours Company Zainab Ansell who organized the tour of
the newly expected couple is seen here happy with the couple in Mount
Kilimanjaro.
Choir
of St. Clara from Moshi was there to deliver Christians wedding songs
during the holly wedding service in Mount Kilimanjaro.
Pastor
Aloyce Mbugi (right) from TAG Arusha Victory Christian Centre reading a
word of God during the holly wedding service in Mount Kilimanjaro. Left
is Mr. Isaya Mwashala who was an interpreter.
The newly expected couple sitting together with their Patron Ansigar Mtandika and Matron Neema Njau.
This
is how it started…narrates Kara Lee: “Sometimes back during the last
Christmas in Minnesota, United States of America we had an engagement
event with my hubby Richard Miller and committed ourselves that the
wedding event must be done on the roof top of Africa and this is none
other than Kilimanjaro Mountain”.
Thereafter,
the duo started planning for this historic and unique event by raising
money for their trip to Tanzania and in particular Kilimanjaro Mountain.
They also informed their relatives about their plan to have their
wedding in Mount Kilimanjaro of which they got a green light from them.
Monday, September 22, 2014
WACHUNGAJI MBARONI KWA ULAWITI WA WATOTO KANISANI!
WATOTO sita, wakiwemo wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14
wameharibiwa vibaya sehemu zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu
wanaodaiwa ni wachungaji.
Watoto hao
Wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru walikopelekwa kwa
matibabu na kuangaliwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, walidai kufanyiwa mchezo huo kwa nyakati tofauti na wachungaji watatu
wa kanisa hilo lililopo eneo la Feed Force, Kwamorombo jijini Arusha.
Mmoja wa watoto hao anayesoma darasa la 4 katika shule ya msingi
alieleza kuwa yeye na wenzake wamekuwa wakifanyiwa mchezo mchafu katika
kanisa hilo baada ya wachungaji hao kuwapatia shilingi 2,000 za kufungia
mdomo.
“Siku moja nilipofika shuleni wenzangu wakaniambia niende pale
kanisani tukapewe hela, nilipofika niliwaona wenzangu wengine
wakifanyiwa mchezo mchafu na mimi mchungaji aliniambia niiname
akanifanyia kitendo kibaya na kunipa shilingi 2,000, niliumia sana,’’
alisema mwanafunzi mmoja.
Mwanafunzi mwingine alisema amekuwa akitoroka shuleni na wenzake na
kwenda kwa watumishi hao ambapo huwaingiza katika kanisa hilo na
kujifanya wanawaombea baadaye huwafanyia mchezo mbaya.
Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema, Godbless Lema.
“Tukifika huwa wanatufungia ndani na kutuambia tuwanyonye, baadaye
wanatubaka na wakimaliza wanatuambia tukisema kwa mtu yeyote
watatuchinja na kutuzika ndani ya kanisa lao,” alisema denti
huyo.Wanafunzi hao walieleza kuwa watumishi hao huwarubuni kwa kuwaeleza
kuwa watawasaidia kuwasomesha iwapo watakuwa wakienda kwenye kanisa
hilo na kuwaingilia.
Mzazi mmoja wa watoto hao, Julius, mkazi wa Kwamorombo alisema mtoto
wake alimweleza kwamba amekuwa akifanyiwa mchezo mbaya na watumishi hao
baada ya kupewa shilingi 2,000.
Alisema aligundua hilo kufuatia tabia ya mtoto wake kuchelewa kurudi nyumbani.
Naye Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema, Godbless Lema
ambaye alifika hospitalini kuwajulia hali watoto hao alisikitishwa na
kitendo hicho na kulitaka jeshi la polisi lifanye uchunguzi wa kina kwa
kushirikiana na vipimo vya kidaktari ili kupata ukweli wa tukio hilo.
“Nimeongea na mkuu wa mkoa, Magesa Mulongo ambaye ameahidi
kulifuatilia kwa kina suala hili na kujua undani wake,’’ alisema Lema.

Kamanda wa Polisi Arusha, Leberatus Sabas. Hata hivyo, watoto hao
baadaye walihamishiwa katika Hospitali ya Seliani kwa ajili ya vipimo
zaidi huku taarifa za awali zikithibitishwa na daktari wa hospitali hiyo
kuwa, baadhi yao walikutwa na michubuko na kupanuka sehemu za siri hali
inayooneshwa kuingiliwa.
Watuhumiwa wa tukio hilo wanashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi
jijini hapa kwa uchunguzi zaidi na Kamanda wa Polisi Arusha, Leberatus
Sabas amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Subscribe to:
Posts (Atom)

