Tuesday, September 23, 2014

AJITOLEA KUONYESHA MWILI WAKE HADHARANI KUWAFUNDISHA WANAWAKE WANAOTUMIA DAWA ZA KUONGEZA MAKALIO

Naitwa naomi, kweli niliposikia kuhusu dawa za kukuza makalio nilienda kuzinunua haraka na kupaka na Kuchoma Sindano Pia ili Kukuza Makalio yawe kama ya Nick Minaj, Mwanzoni nilifurahi kwa kuwa niliona kama vile yanakuwa kweli lakini sasa hivi nimeanza kupata mashimo mashimo pia yanauma sana mpaka yanakuwa mekundu, ukweli yamekuwa mzigo kwangu  Hata sijui Nifanyaje Jamani
Atoa onyo kali kwa wanawake wakitanzania kujikubali vile walivyozaliwa kwani kwake sasa ni mateso 

No comments:

Post a Comment