Monday, August 4, 2014

PASTOR MIAMBA AJIUNGA NA CHAMA CHA WANANDOA


 

Pastor Emmanuel Myamba muigizaji maarufu Tanzania amefunga ndoa na mke "Praxceda" visiwani Zanzibar na kuweka historia tena kwa muigizaji aliyefanya harusi iliyokwenda sawa
na hadhi yake.Kwa mujibu wa ripota aliyekua kwenye eneo la tukio.....ameijuza AMESEMA harusi hiyo itakua miongoni mwa harusi zitakazo weka historia Visiwani Zanzibara kutokana na zawadi waliyopewa Pastor Myamba na mkewe ikiwemo gari jipya pamoja na pesa taslimu milioni 250

 

No comments:

Post a Comment