Wednesday, August 27, 2014

OLIVER MTUKUZI AONYESHA MATOKEO YA VIPIMO VYAKE VYA UKIMWI HADHARANI


Mwanamziki mkongwe Oliver Mtukudzi, ameonyesha hadharani matokeo ya vipimo vyake vya ugonjwa wa ukimwi baada ya kuwepo kwa maneno maneno mtaani kwamba mwanamziki huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 60 kuwa mgonjwa wa ugonjwa huo hatari.

Hata hivyo katika majibu ya vipimo hivyo mwanamziki huyo alionekana kutokuwa na ugonjwa huo, alikiri kuwa ndugu zake wengi wamefariki kwa ugonjwa huo, lakini yeye anasumburiwa na ugonjwa wa kisukari na sio mwathirika wa Ukimwi.

No comments:

Post a Comment