Thursday, October 2, 2014

BARUA YA SITTA KUMJULISHA WAZIRI MKUU WAKUTANE HARAKA OFISINI KWAKE MAMBO MAGUMU NI BAADA YA MWANASHERIA WA Z’BAR KUPIGA KURA YA HAPANA ,YAVUJA

By3oIKGIcAAeU2u
Hali ya Mwenyekiti wa Bunge lakatiba Samuel Sitta na gangi lake imekua ngumu mno baada ya Mwanasheria mkuu wa Zanzibar kupigilia msumari wa kura ya wazi ya kukataa.

Hali hii imemtia kiwewe Samuel Sitta na Wana Mapinduzi wa Rasimu ya katiba kuhaha na kuona sasa hali imekua ngumu na kusaka mbinu nyingine.

Sitta adiriki kumuandikia kiji notice Waziri mkuu Mizengo Pinda kumtaka ofisini kwake mara moja baada tu, ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kupiga kura ya hapana.

No comments:

Post a Comment