Sunday, August 24, 2014

HAWA NDIO MADRID LEGENDS NA MATUKIO YAO HAPA TZ

FABIO Cannavaro tells President Kikwete that Luis Figo (second right) fits to be a coach not him. The incident took place at a dinner party the president hosted for visiting Real Madrid legends at the State House on Saturday evening

REAL MADRID LEGENDS YAINYUKA TANZANIA 3-1
 Rais Jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Tanzania 11
 Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Real Madrid Legends.
 Luis Figo (kushoto), akiruka juu kupiga mpira wa kichwa.
 Hekaheka langoni mwa Tanzania.
 Mohamed Mwameja akiwa ameshika kiuno baada ya kufungwa goli la kwanza.

 Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na kocha Msaidizi wa Tanzania 11, Jamhuri Kiwhelo 'Julio' mara baada ya mchezo.
 Kiungo wa timu ya Real Madrid Legends, Christian Karembeu akichukua picha ya kumbukumbu na Rais Jakaya Kikwete.

 
Nzuri sana........
Mfunga wa mabao ya timu ya Real Madrid, Reuben akipokea mpira baada ya kupiga 'hat trick' katika mchezo huo.
Beki wa timu ya Tanzania 11, Shadrack Nsajigwa akichuana na mshambuliaji wa Real Madriad Legends, Luis Figo wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania 11 wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akimiliki mpira mbele ya beki wa Tanzania 11, Shadrack Nsajigwa wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 
Rais Jakaya Kikwete akikabidhi kombe kwa mchezaji wa Real Madriad Legends baada ya kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Tanzania 11 katika mchezo maalum wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)


 Benchi la ufundi la Tanzania 11
 Luis Figo akisalimiana na wachezaji wa Tanzania 11.

 Peter Manyika akisalimiana na Luis Figo.

MAGWIJI WA REAL MADRID WAZINDUA DUKA JIPYA LA VIFAA VYA UMEME LA TROPICAL LILILOPO VICTORIA KINONDONI DAR

1 (13)Muonekano wa Jengo la Makao Makuu ya Kampuni ya Tropical.2 (12)Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kulia), akisalimiana na mwanasoka bora  mstaafu wa timu ya Real Madrid, Fernando Sons (kushoto), baada ya kufika na wenzake kuzindua duka jipya la vifaa vya umeme la Tropical lililopo maeneo ya Victoria Kinondoni Dar es Salaam jana. Katikati ni Christian Karembeu.
3 (11)Wakurugenzi wa Kampuni ya Tropical wakiwa na wacheza hao wakati wa sherehe hizo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji, Aloyce Ngowi na Kulia ni Meneja Mkuu, Charles Mlawa.4 (9)Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kushoto), akiwa na wageni waalikwa. Wa pili kushoto ni Balozi wa Zambia nchini.5 (6)Warembo watoa huduma katika duka hilo wakiwa katika picha ya pamoja.6 (1)Wapiga picha kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakipiga picha na wachezaji hao.

 

RAIS KIKWETE AWAPA ZAWADI FIGO NA WACHEZAJI WA REAL MADRIS 

D92A7880[1]
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi ya kinyago mchezaji veterani wa timu Real Madrid Luis Figo wakati wa hafla ya chakula cha jioni aliyowaandalia wachezaji wa timu hiyo na timu ya maveterani ya Taifa Stars ikulu jijini Dar es Salaam jana usiku baada ya mechi ya kirafiki ambapo Real Madrid illifungaTaifa Stars 3-1 katika uwanja wa Taifa.(picha na Freddy Maro).


D92A7881[1]
D92A7882[1]

No comments:

Post a Comment