Dk. Myles Munroea akiwa na mkewe Ruth enzi za uhai wao.
KIONGOZI wa Bahamas Faith Ministries, Dk. Myles Munroe, mkewe Ruth na
watu wengine saba wamefariki dunia katika ajali ya ndege jana huko
Bahamas.
Dk.
Myles Munroe (kulia) wakati akiwa jijini Dar Oktaba mwaka huu akitazama
vitabu vya mtunzi na mwalimu wa ujasiriamali ambaye pia ni Mkurugenzi
wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo…
Dk. Myles Munroea akiwa na mkewe Ruth enzi za uhai wao.
KIONGOZI wa Bahamas Faith Ministries, Dk. Myles Munroe, mkewe Ruth na
watu wengine saba wamefariki dunia katika ajali ya ndege jana huko
Bahamas.
Dk.
Myles Munroe (kulia) wakati akiwa jijini Dar Oktaba mwaka huu akitazama
vitabu vya mtunzi na mwalimu wa ujasiriamali ambaye pia ni Mkurugenzi
wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo (katikati).
Katika ajali hiyo, ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria iligonga winchi
na kulipuka wakati ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Grand Bahama.
Dk. Munroe akiwa nchini Tanzania mwezi Oktoba mwaka huu.
Katika mkutano huo, Dk. Munroe kutoka Nassau, Bahamas, alifundisha
mbinu za kuwafanya viongozi waweze kuchanganua mambo, kutimiza majukumu
yao na hatimaye kufikia malengo makubwa ya kimafanikio ambayo yanaweza
kuifanya nchi ipige hatua.
No comments:
Post a Comment