Kumefanyika
maadhimisho ya kuwakumbuka watu walipoteza uhai wao kwenye ndege ya
shirika la ndege la Malaysia MH17, nchini Uholanzi,ambapo maua na
mishumaa ipatayo mia mbili na tisini na nane vilinavyo wakilisha idadi
ya abiria waliokuwa wakisafiri na ndege hiyo kabla ya ajali ambavyo
viliwekwa na wanafunzi,ndege hiyo ilipopotelea Mashariki mwa Ukraine
yapata miezi minne iliyopita.
mishumaa idadi sawa na abilia waliokuwepo ndani ya ndege iliyopotea ikiwa imewashwa kwa ajili ya kukumbuka vifo vya abilia
Mfalme na
malkia wa Uholanzi na mabalozi wa nje waliomo nchini humo walihudhuria
hafla hiyo,ambapo majina ya walikufa katika ajali hiyo yalitajwa.
Ikiwa
imetimia miezi minne leo, sababu za ajali hiyo mpaka sasa
hazijajulikana,ingawa kikundi cha kigaidi cha Urusi kinashukiwa
kuidungua ndege hiyo,ambayo ilikuwa ikifanya safari zake kutoka uwanja
wa ndege wa Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur Malaysia.
inasemekana ndege hiyo ilidunguliwa kwa kombora, na mara moja serikali mjini Moscow imekanusha taarifa hizo.
CREDIT: BBC
No comments:
Post a Comment