Monday, September 15, 2014

MAGUNIA MAWILI YA MAHINDI NA SUFURIA NNE YAFANYA WANUSURIKE KUCHUNGULIA JEHANAMU, RUNGWE,….

Watu wawili ambao ni wakazi wa kijiji cha  Kandete Wilayani Rungwe mkoni Mbeya  wamenusurika kifo baada  ya kuambualia  kipigo kikali  kutoka kwa  wananchi  wenye  hasila  kari   baada  ya  kukamatwa  na tuhuma   za  kuboma  ofisi kwa  kuiba mahindi   ya shule    ya msingi  kisalala.
 Wakizunguza kwa masikitiko makubwa  na    yetu lungwe   blog wananchi hao wamesema hatua  hiyo imekuja  kufuatia   vijana  hao kuiba  mahindi na vyombo  vya   shule ambavyo kwa  juhudi  zao wali jichangisha kwa  madhumuni  ya   kuwawekea watoto wao hazina  ya  chakula ambacho kilikuwa  kinatumiwa wakati  wamchana  pindi wakiwa njaa

https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=148747e14ae362f4&attid=0.7&disp=inline&realattid=f_i02g6tod6&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-Wt9hgn5KzbaKh0D4jXCix&sadet=1410780214004&sads=XGvg9OngA3Zk9ZQz-MshEVsCgGg



   Hata hivyo  taaarifa  za awari  kutoka kwa wananchi hao zilieleza  kuwa  katika siku za  hivi karibuni  uongozi wa shule  hiyo uliitisha   kikao  maalmu  kilicho jumuisha wazazi na  walezi   ambapo kupitia kikao hicho waliafikiana kuchangia   mahindi  kilo tano kwa kila mmoja ambazo   zilitolewa na kufanikiwa kununua masufuria manne    kwa ajili   ya  kuwapikia chakula  watoto  wao pindi wakiwa shule.
   Walisema  walishangaa  baada  ya  vijana  hao kujichukulia uamzi mgumu wa kubomoa   ofisi ya  shule na  nyumba  ya mkuu wa shule kwa  kutokomea na vitu  hivyo  ambavyo waliweza kuvikamata  baada ya msako mkali kupita kijijini  hapo.

https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=148747e14ae362f4&attid=0.4&disp=inline&realattid=f_i02g6tm43&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-Wt9hgn5KzbaKh0D4jXCix&sadet=1410780553901&sads=lU-Y7AAGlGl2W2vl9BB1cGDj6c4
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=148747e14ae362f4&attid=0.3&disp=inline&realattid=f_i02g6tlf2&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-Wt9hgn5KzbaKh0D4jXCix&sadet=1410780548483&sads=4KGCJv6Di7inRWbCz3Ev1dY1z6o
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=148747e14ae362f4&attid=0.10&disp=inline&realattid=f_i02g6tql9&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-Wt9hgn5KzbaKh0D4jXCix&sadet=1410780606263&sads=aO9Iz8_VoGs9Gopr3tVNDvCGjOs

  mwenyekiti  wa kamati ya  shule  hiyo, fred  ngiluke mwandimila  alisema   vijana   hao walibomoa  mlango   na kufanikiwa  kuiba gunia  mbili za  mahindi na  masufulia manne ya   kupikia chakula  na  kwamba kutokana  na  hali  hiyo kutokea waliamua kutoa  taarifa    katika  uongozi  wa  kijiji ambao  ulifika  na kuwakamata  mapema

 

   Afisa mtenda wa kata  hiyo  Huluma mwakyusa alikili kutokea kwa  tukio hilo na kwamba watuhumiwa  wamepelekwa  katika  hospitali  ya  wilaya  ya Rungwe yaani   makandana   na huku  wakiwa chini ya   ulinzi  wa  jeshi la polisi na kuwataja  watuhumiwa   hao kuwa ni  Sauli  mwakyage miaka {30}  na   tumaini mwasimbega  mika {35}wote wakiwa  ni  wakazi wa kijiji hicho.
 Kwa upande wa  walimu wa shule  hiyo  akiwamo  Elieza anangisye  walisema    kutokana  na hali  hiyo imepelekea wanafunzi  wao  kushindwa  kupata  chakula   kwa wakati  na ukilinganisha kuwa    vyakula vyote   huwa  vinatolewa na   wazazi na walezi Ikiwa ni pamoja  na wanafunzi   kushindwa  kwenda shule  kutokana   na msako wa   vyakula  kuchukua nafasi yake..
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=148747e14ae362f4&attid=0.2&disp=inline&realattid=f_i02g6tkt1&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-Wt9hgn5KzbaKh0D4jXCix&sadet=1410780150940&sads=FMJmGsbinU8XcZKGZVEwyUgCsoM

No comments:

Post a Comment